منتديات مسلم أون لاين

منتديات مسلم أون لاين (http://www.moslemonline.net/vb/index.php)
-   English Forum (http://www.moslemonline.net/vb/forumdisplay.php?f=72)
-   -   Kuamini Kukutana Na Allah (http://www.moslemonline.net/vb/showthread.php?t=5214)

غرير غازي 02-20-2020 02:51 PM

Kuamini Kukutana Na Allah
 
Kila Kiumbe Kitarudi Kwa Allah Na Kwake Ndio Marejeo Ya Kila Kitu, Na Hii Ni Nguzo Muhimu Sana Katika Nguzo Za Imani, Miongoni Mwa Nguzo Za Imani Kuamini Siku Ya Mwisho Imethibiti Kuwa Mtume (S.A.W) Alipoulizwa Na Jibril (A, S) Mbele Ya Maswahaba Kutaka Kuwafundisha Nguzo Za Imani. Akasema. “Ni Kuamini Allah Na Malaika Wake Na Vitabu Vyake Na Mitume Wake Na Siku Ya Mwisho Na Kuamini Qadari Kheri Na Shari Yote Yatoka Kwa Allah.” (Imepokewa Na Muslim)

Na Imeitwa Siku Ya Mwisho Kwasababu Hakuna Siku Baada Yake Watakapo Kuwa Watu Wapeponi Peponi Na Watu WA Motoni Motoni. Na Iko Na Majina Mengi Katika [سجل معنا ليظهر الرابط. إضغط هنا للتسجيل...] Inayojulisha Utukufu Wake Na Ukubwa Wake Na Yatakayo Tokea Siku Hiyo:

Siku Ya Kutokea Jambo Kwasababu Siku Hiyo Itatokea , Na Khafidha Yenye Kutweza Na Kunyenyua Kwasababu Watanyenyuliwa Watu Darja Peponi Na Watatweza Wengine Motoni, Siku Ya Hisabu Na Malipo, Na Siku Ya Dini Na Siku Ya Haki Ambayo Khabari Zake Allah Zitakuwa Kweli, Siku Ya Balaa Na Siku Ya Sauti Kali Iumizayo Mashikio, Kwasababu Mpulizo Wa Baragumu Unaleta Uziwi, Na Siku Na Ahadi, Kwakutimia Ahadi Zake Allah Juu Ya Makafiri, Na Siku Ya Hasara, Kwa Hasara Na Majuto, Na Siku Ya Kukutana, Kwasababu Watu Wote Watakutana Sehemu Moja, Na Siku Iliyo Karibu Kwa Ukaribu Wake, Siku Ya Kuitana, Kwasababu Ya Watu Kuitana Watu Wa Peponi Watawaita Watu Wa Motoni Na Watu Wa Motoni Wawaite Watu Wa Peponi Na Siku Tasa Siku Ya Mwisho Hakuna Siku Baada Yake Na Nyumba Ya Mwisho Na Nyumba Ya Milele Na Siku Ya Kufinika Kwa Sababu Itafinika Watu Na Majina Mengine .

YANAYO AMBATANA NA IMANI YA SIKU YA MWISHO:-
MWanzo: KuamiNi ya baada ya mauti:
Kama Fitna Ya Kaburini : Nayo Ni Kuulizwa Maaiti Baada Yakuzikwa Kuhusu Mola Wake Na Dini Yake Na Nabiyi Wake, Hapo Huwathubutisha Allwah Kwa Neni La Kuthubutu Wale Ambao Wameamini, Akaseama: ( Mola Wangu Ni Allwah, Na Dini Yangu Ni Uislamu, Na Mtume Wangu Ni Muhammad), Na Huwapoteza Allwah Walio Madhalimu Hapo Husema Alio Kafiri:(Ha..Ha... Sijui), Na Husema Mnafiki Au Mwenye Shaka: (Sijui Nimesikia Watu Wakisema Kitu Nami Nikasema).

Na Miongoni Mwa Adhabu Za Kabri Na Neema Zake: Adhabu Ya Ya Kaburi Huwa Ni Yamadhalimu Na Manafiki Na Makafiri, Na Baadhi Ya Maasi Miongoni Ya Waumini.Amesema Allwah Mutukufu: {Na Lau Ungewaona Madhalimu Kwenye Matungu Ya Mauti Na Malaika Wamenyosha Mikono Yao Toeni Roho Zenu Leo Mtalipwa Adhabu Ya Utwevu Kwa Yale Mulikuwa Mukiyasema Kwa Mungu Yasiokuwa Ya Haki Na Mulikuwa Mukifanya Kibri Kwa Aaya Zake} (Al-An’am 93)


الساعة الآن 08:28 PM.

Powered by vBulletin® Version v3.8.8
Copyright ©2000 - 2024, by Sherif Youssef
ما يطرح بالمنتدى لا تعبر بالضرورة عن وجهة نظر الموقع وإنما تعبر عن وجهة نظر كاتبها أو قائلها